.
17th October, 2020
Wanafunzi wanaoishi kwenye maeneo ya mpaka wa kaunti za Baringo, Samburu na Laikipia wana sababu ya kutabasamu baada ya shule yao ya msingi ya plesian kugeuzwa na kuwa ya bweni ili kuwawezesha kukaa shuleni hata wakati wa likizo. hapo mbeleni ukosefu wa usalama na ukame uliwafanya wanafunzi wengi kuacha shule na kuhamia mahala palipo salama.