.
17th October, 2020
Naibu Rais William Ruto hii leo ameendeleza siasa zake za hustler nation katika kaunti ya Meru. Ruto aliyekuwa ameandamana na viongozi wengine wa mrengo wa tanga tanga wamekashifu watu ambao wamedai wanatumika kuzua vurugu mikutanoni. George Maringa anaarifu zaidi.