×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ibada ya wafu ya vijana wawili waliofariki Murang’a mapema mwezi huu imefanyika mjini thika

16th October, 2020

Ibada ya wafu ya vijana wawili waliofariki kwenye purukushani eneo la kenol, murang’a mapema mwezi huu imefanyika mjini thika kabla yao kuzikwa kwao maeneo hayo. christopher mungai na peter mbothu walifariki baada ya ghasia kutokea kabla ya naibu rais william ruto kuongoza hafla ya kanisani. hata hivyo ingawa wanasiasa hawakuwa kwenye ratiba, bado baadhi yao kama gavana james nyoro na mtangulizi wake william kabogo walijitokeza

.
RELATED VIDEOS