.
16th October, 2020
Ibada ya wafu ya vijana wawili waliofariki kwenye purukushani eneo la kenol, murang’a mapema mwezi huu imefanyika mjini thika kabla yao kuzikwa kwao maeneo hayo. christopher mungai na peter mbothu walifariki baada ya ghasia kutokea kabla ya naibu rais william ruto kuongoza hafla ya kanisani. hata hivyo ingawa wanasiasa hawakuwa kwenye ratiba, bado baadhi yao kama gavana james nyoro na mtangulizi wake william kabogo walijitokeza