×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Walimu wasio wenyeji wacharazwa na kufukuzwa kwenye mchakato wa ajira za TSC, huko Busia

14th October, 2020

Zoezi la kuwaajiri walimu katika kaunti ndogo ya Bunyala eneo bunge la Budalangi kaunti ya Busia lilikumbwa na vurumai baada ya wakazi wa eneo hilo kuingilia kati na kuwafurusha baadhi wa walimu waliokuwa wamejitokeza kwa shughuli hiyo kutoka nje ya kaunti ndogo ya Bunyala. Baadhi ya waliofurushwa wamelaani kitendo hicho na kukitaja kuwa dhuluma kwao baada ya kutuma maombi ya kazikwa njia ya mtandao na kupewa idhini ya kuhudhuria shughuliya kaguliwa kwa stakabadhi zao.

.
RELATED VIDEOS