×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakulima kupokea vifaranga Kakamega, ubalozi utatoa vifaranga kwa Kaunti 30

30th September, 2020

Ubalozi wa uturiki nchini Kenya umeanza kusambaza vifaranga vya bure kwa kaunti 30. Kaunti ya Kakamega ikiwa ya kwanza kunufaika huku kila mkulima akipokea vifaranga 50 na vyakula katika mradi huo wa kuinua wakulima wadogo wadogo. Akizungumza katika hafla hiyo katibu mwandamazi katika wizara ya kilimo Lina Chebii amesema wizara yake na kaunti ya Kakamega imeanza mpango wa kujenga kichinjio cha kuku katika kaunti hiyo. Kaunti ya Kakamega pekee ina takriban kuku milioni 3.1

.
RELATED VIDEOS