×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafanyikazi wa Tuskys waandamana, wagomea kazi wakidai mishahara yao

30th September, 2020

Wafanyakazi wa maduka ya Tuskys waliandamana kulalamikia kutolipwa kwa mishahara yao ya miezi mitatu. Maandamano hayo yamekuwa msumari moto kwenye kidonda ikizingatiwa kwamba tusky’s imejipata katika hali ngumu ya kifedha, biashara nyingi zikiitaka kampuni hiyo kuwalipa madeni yao. 

.
RELATED VIDEOS