.
25th September, 2020
Wasichana wengi wakati huu wa korona wameishia   kupachikwa mimba. wasichana hawa hata hivyo kutokana na uoga wa unyanyapaa na kuwaogopa wazazi wameishia kuavya mimba lakini kwa njia zisizo salama na wakati mwingine  kugeuka mauti. allan ochanda amezungumza na baadhi ya waathiriwa na wazazi wa wasichana waliopoteza maisha  wakijaribu kuavya mimba na kuandaa taarifa ifua