.
25th September, 2020
Baraza la magavana limetangaza kuwa litawasilisha kesi mahakamani kupinga hatua ya jaji mkuu kumshauri Rais Kenyatta kuvunjilia mbali bunge kwa kushindwa kutekeleza sheria ya uawa wa kijinsia. viongozi wakitofautiana kuhusu kauli ya maraga katika hafla aliyohudhuria na kufungua jengo jipya la mahakama kuu katika kaunti ya kakamega.
  .