×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

LSK kuandaa maandamano ya wananchi iwapo rais Uhuru hatavunjilia mbali bunge la kitaifa

24th September, 2020

 

Mahakama kuu imesimamisha utekelezwaji wa ushauri wa jajai mkuu kwa rais kuwa bunge livunjwe. Kwenye uamuzi wake jaji Weldon Korir amesema kwamba kesi iliyowasilishwa na Leina Konchella na Mohsen Abdul Munasar kupinga ushauri huo wa jaji mkuu, imegusia masuala muhimu ya vipengee vya sheria. Jaji korir ameamuru kuwa kesi hiyo isikizwe na majaji wasiopungua watatu, watakaoteuliwa na yuyo huyo jaji mkuu. Awali chama cha wanasheria nchini LSK kilitoa makataa kwa rais kuvunja bunge kufikia oktoba 12 la sivyo kiandae maandamano ya wananchi hadi bungeni. Huyu hapa Nelson Havi, rais wa LSK.

 

 

.
RELATED VIDEOS