×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Siasa za Pokot: Viongozi watoa wito wa amani wakisisitiza umuhimu wake

18th September, 2020

Huku siasa zikiwa zimechacha nchini baadhi ya viongozi wa kaunti ya west pokot sasa wamekashifu siasa wanazosema zinanuiya kugawanya taifa wakisema zitarejesha nyuma maendeleo kwenye kaunti. Aidha viongozi hao waliokuwa wakizungumza kwenye maadhimisho ya miaka mitatu ya uongozi wa gavana wa kaunti hiyo john lonyangapuo walichukua fursa hiyo kumtetea kufuatia tishio kwamba huenda akatimuliwa kutoka chama cha kanu. 

 

.
RELATED VIDEOS