×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Juhudi za Bungoma: Oparanya awataka magavana kuhakikisha kaunti zimerejelea shughuli zake mara moja

18th September, 2020

  Mwenyekiti wa baraza la magavana wycliffe oparanya  Amewataka magavana kuhakikisha kaunti zimerejelea  Shughuli zake mara moja baada ya kaunti mbali mbali  Kusitisha huduma zake kutokana na vuta ni kuvute katika  Bunge la seneti. oparanya na  Magavana wengine wameshabikia hatua ya bunge la seneti  Kupitisha mfumo mpya wa ugavi wa fedha za kaunti. Wakati Huo huo magavana wakitakiwa kutumia fedha hizo kuleta Maendeleo katika kaunti zao. Viongozi mbali mbali Walizungumza katika hafla ya kuorodhesha na kutathmini miradi Aliyotekeleza gavana wa bungoma wycliffe wangamati  Katika chuo kikuu cha kibabii

 

.
RELATED VIDEOS