×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Sudi kuzuilia kwa siku 7 zaidi, ili kutoa muda wa uchunguzi

16th September, 2020

Mbunge wa Kapseret Oscar Sudi ataendelea kuzuiliwa katika kituo cha Polisi cha Central mjini Nakuru hadi Jumatano wiki ijayo ili kuuwezesha upande wa mashtaka kumaliza uchunguzi. Hakimu Mkuu Josephat Kalo alisema kuwa Korti ilikuwa imeridhishwa na ombi la upande wa mashtaka lakini badala ya siku kumi na nne waliotaka, wakapata siku saba.

.
RELATED VIDEOS