2nd September, 2020
Nahodha wa timu ya Vapor Fc Charles Cheyo ni kijana mwenye ufundi mbali mbali. Kando na kucheza soka, alibuni mbinu za useremala zinazomwezesha kujimudu maishani lakini bado azma yake kuu ni kufikia viwango vya ligi kuu nchini katika soka.