2nd September, 2020
Mwakilishi wa kike wa Migori Pamela Odhiambo amewasuta viongozi wa siasa kwa kuingiza siasa katika vita dhidi ya Ufisadi. Pamela amesema kuiwa lengo la wanasisasa wa aina hiyo ni kufunika maovu ya wendani wao.. Aidha aliongeza akuwa waliotajwa katika sakata ya Kemsa na zingine nchini wajilaumu wenyewe. Matamshi yake yanajiri siku moja bada ya Gavana wa Migori Okoth Obado kufikisha mahakamani yeye na watoto wake 4 kutokana na amdai ya ufujaji wa pesa za kaunti zipatazo shilingi milioni 73.