×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wenyeji Nessuit wafanya maandamano walaumu Polisi kwa kuwahangaisha

21st August, 2020

Watu Wawili Zaidi Wamefariki Kufuatia Mapigano Mapya Yanayoshuhudiwa Katika Eneo La Nessuit Kaunti Ya Nakuru. Wenyeji Wa Eneo Hilo Hii Leo Waliandamana Zaidi Ya Kilomita Kumi Hadi Njoro Katika Juhudi Za Kuhakikisha Kuwa Wamesikizwa Na Shida Zao Kusuluhishwa. Walidai Kuwa Polisi Walio Eneo Hilo Wanaendelea Kuwanyanyasa Na Na Hata Baadhi Yaowamepoteza Maisha Kwenye Makabiliano.

.
RELATED VIDEOS