.
17th June, 2020
Kwa kauli moja wawakilishi wodi wa kaunti ya kakamega
wamemtimua kiongozi wa wachache bungeni ambaye ni
mwakilishi wa chama cha anc david ndakwa na kutoa amri
kuwa vyama vyote vya nasa vipo katika upande wa walio
wengi bungeni. Katika kikao cha leo bungeni wawakilishi
wadi hao wameamua kuwa chama cha udp ndicho
kitakachoongoza upande wa wachache bungeni. Wawakilishi
wadi hao wakijitenga na madai kuwa walifanya hivyo kwa
kuwa mwakilishi wadi huyo amekuwa anapinga muungano
mpya unaoongozwa na gavana wycliffe oparanya na waziri
eugine wamalwa.