×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Uvunjaji sheria WSTF: Uongozi wa WSTF watiliwa shaka baada ya Kiongozi kuitisha mda wa ziada

17th June, 2020

Huenda hazina ya kitaifa inayosimamia masuala ya maji

        Ikakosa ufadhili iwapo wahisani kama ubalozi wa denmark,

        Ubalozi wa uswidi na benki ya ujerumani zitajiondoa

        Kutokana na fununu za uvunjaji sheria katika uongozi wake.

        Hii ni baada ya kubainika kuwa afisa mkuu mtendaji wa

        Halmashauri hiyo ismael fahmy shaiye  anapania kujiongezea

        Kipindi cha tatu cha kuhudumu kinyume na sheria.

        Mwanahabari wetu lofty matambo anatathmini jinsi mamlaka

        Mbali mbali serikalini zilivyo kiuka agizo la mkuu wa utumishi

        Wa umma joseph kinyua na kusalia na maafisa kwa kipindi

        Kirefu ama kuwaajiri maafisa wasiofaa kisheria. 

 

.
RELATED VIDEOS