×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mpaka wa Namanga: Madereva washurutishwa kupimwa kwanza baada ya serikali kufungua mpaka wa Namanga

17th June, 2020

        Ni afueni kwa wafanyabiashara wanaotumia kivuko cha

        mpaka wa namanga, baada ya waziri wa jumuiya ya afrika

        mashariki aden mohammed kuufungua mpaka wa namanga na

        kuwaruhusu wafanyibiashara wa mataifa hayo kuendelea na

        biashara zao

 

       

 

        ni majuma mawili hivi tangu mpaka huo kufungwa katika

        kudhibiti maambukizi ya virusi vya korona na waziri

        mohammed wameafikiana na upande wa tanzania kuufungua

        mpaka huo huku madereva wakipimwa kabla ya kuingia au

        kutoka upande mwengine. Awali, madereva wa masafa

        marefu kutoka nchi jirani ya tanzania na ambao hapo mbeleni

        walikuwa wanakataa kupimiwa humu nchini, sasa wamekubali

        kuwa wakipimiwa humu nchini bila tashwishi yoyote

 

.
RELATED VIDEOS