.
17th June, 2020
Shughuli ya kupokea maoni kuhusu ufunguzi wa maeneo ya
Kuabudu imeanza na kujumuisha viongozi wa kidini na
Mawaziri. Kamati inayoongoza shughuli hiyo itaanza kupokea
Maoni kutoka kwa wakenya, lengo kuu likiwa kuzingatia
Kanuni za kuzuia kuenea kwa virusi vya korona. George
Maringa anaarifu zaidi.