.
12th June, 2020
Watu wanne wakiwemo polisi watatu wanaodaiwa
kumkandamiza mwanamke mmoja katika eneo la olenguruone
kaunti ya nakuru wamezuiliwa na korti kwa siku tisa zaidi ili
kuwezesha uchunguzi zaidi. Wapelelezi wa kesi hiyo
walikuwa wameiomba korti hiyo kuwaruhusu kuwazuilia
washukiwa hao kwa siku kumi na nne. Joan letting anaarifu…..