×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waombolezaji Kisumu watawanywa na polisi wakitaka kuona mwili wa Mwanamziki wa Ohangla aliyefariki

12th June, 2020

Hali ya taharuki ilitanda nyumbani kwa mwanamziki wa nyimbo

        za ohangla marehemu benard onyango baada ya mamia ya

        waombolezaji kukabiliana na maafisa wa

        polisi.maafisa wa polisi

        walilazimika kutumia vitoza machozi kuwatawanya maelfu

        waliojitokeza kushuhudia usafirishaji wa maiti ya marehemu

        kutoka hospitali ya port florence ambako mwili wa

        marehemu ulikuwa umehifadhiwa hadi nyumbani

        kwake.msongamano mkubwa ulishuhudiwa na kuathiri

        shughuli ya kuusafirisha mwili huo.iliwabidi polisi kubadili

        njia mara kadhaa ila juhudi zao ziliambulia

        patupu.waombolezaji waliwazuia maafisa hao wakitaka mwili

        wa marehemu kuhifadhiwa hadi kesho kwa kigezo cha mila na

        tamaduni kisha wakaweka mchanga kwenye kaburi ili

        asizikwe.polisi walichimba tena kaburi hilo ila waombolezaji

        waliuchukua mwili wa marehemu na kutoroka nao.jeneza la

        marehemu liliharibiwa wakati wa vuta nikuvute hiyo.

 

 

.
RELATED VIDEOS