×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hoja Ya Atwoli: Atwoli asema asihusishwe na FORD-Kenya baada ya mrengo wa Wetangula kumlaumu

10th June, 2020

        Katibu mkuu wa muungano wa cotu francis atwoli

        amejitenga na madai kuwa alihusika kwenye kung`atuliwa

        kwa seneta wa bungoma moses wetangula kama kinara wa

        chama cha ford kenya.  Mbunge wa tongaren eseli simiyu na

        mwenzake wa kanduyi wafula wamunyinyi walifanya

        mapinduzi chamani ford kenya , ambapo kidole cha lawama

        kilielekezwa kwa  atwoli ambaye kabla ya mapinduzi hayo

        alikuwa amekutana na wanasiasa takriban 40 kutoka eneo la

        magharibi.

 

.
RELATED VIDEOS