.
10th June, 2020
Katibu mkuu wa muungano wa cotu francis atwoli
amejitenga na madai kuwa alihusika kwenye kung`atuliwa
kwa seneta wa bungoma moses wetangula kama kinara wa
chama cha ford kenya. Mbunge wa tongaren eseli simiyu na
mwenzake wa kanduyi wafula wamunyinyi walifanya
mapinduzi chamani ford kenya , ambapo kidole cha lawama
kilielekezwa kwa atwoli ambaye kabla ya mapinduzi hayo
alikuwa amekutana na wanasiasa takriban 40 kutoka eneo la
magharibi.