×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mauaji ya Kiholela: Afisa mkuu wa DCI-Embu afikishwa mahakamani kwa madai ya kubaka

3rd June, 2020

Afisa wa mkuu wa polisi wa kitengo cha dci eneo la embu amefikishwa mahakamani kwa madai ya kumbaka mwanamke aliyezuiliwa katika kituo cha polisi cha manyata akishukiwa kulaghai jamaa moja. Jijini nairobi mkuu wa mashtaka ya umma noordin hajji ameagiza kufunguliwa mashtaka dhidi ya afisa wa polisi duncan ndiema aliyedaiwa kumpiga risasi mvulana yasin moyo kutoka eneo la kiamaiko. Sirajurahman abdullahi na taarifa zaidi.

 

 

.
RELATED VIDEOS