×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Bajeti ya Ziada Nairobi: Gavana Sonko aidhinisha bajeti ziada

3rd June, 2020

Gavana wa nairobi mike sonko ametia saini bajeti ya ziada ya shilingi bilioni tatu nukta tano itakayoelekezwa kwa huduma ya jiji la nairobi almaarufu nairobi metropolitan services. Takriban bilioni mbili zimetengewa matumizi ya kila siku huku bilioni moja nukta mbili ikitengewa shughuli za maendeleo jijini zinazoendelea kutekelezwa na huduma hiyo pamoja na matumizi ya kila siku. Akizungumza katika ofisi ya kibinafsi ya gavana sonko eneo la upper hill jijini nairobi, msemaji wake ben mulwa amesema kuwa maendeleoyanayoendelea kushudiwa yalianzishwa na serikali ya gavana sonko.

.
RELATED VIDEOS