Kifo Korokoroni: Familia kutoka yataka haki kijana wao aliyefariki korokoroni Nyamira
20th May, 2020
Familia moja katika kaunti ya nyamira inalilia haki baada ya mwana wao mwenye umri wa miaka kumi na saba kufa akiwa korokoroni. Kijana huyo ni mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya enkinda nyamira kaskazini