×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Chozi la Mkongwe

2nd February, 2020

Bima Ya Kitaifa Ya Matibabu NHIF Imekuwa Muhimu Sana Kwa Kila Mmoja Katika Jamii Na Ndiposa Serikali Humtoza Kila Mwananchi Ada Fulani Ya Mapato Yake.Cha Kusikitisha Ni Kwamba Pindi Mtu Anapostaafu Mpango Huo Huacha Kumsaidia Japo Huwa Tayari Ameanza Kuzeeka Na Pengine Kuhitaji Matibabu Hayo Zaidi. Swali Sasa Ni Je Kunazo Sera Mwafaka Kuangazia Kikamilfu Masuala Yanayoibuka Miongoni Mwa Wakongwe Nchini. Mgao Wa Shilingi Elfu Mbili Uliotengewa Wakongwe Kuanzia Umri Wa Miaka Sabini Una Uwazi?

.
RELATED VIDEOS