.
3rd January, 2020
Mwaka Mpya Huja Na Matumaini Mengi Kwa Watu Mbalimbali. Wakazi Katika Eneo La Kisaju Huko Kajiado Wameelezea Matumaini Kwamba Vita Vinavyoendelea Dhidi Ya Ufisadi Ni Ishara Nzuri Kwa Serikali Kutaka Kuimarisha Hali Ya Maisha Ya Wakenya.