×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Musalia Mudavadi azindua kitabu kinachoangizia wasifu wake toka utotoni

18th December, 2019

Kiongozi wa chama cha ANC Musalia Mudavadi amezindua kitabu cha wasifu wake, kinachoangazia maisha yake kutoka utotoni, alipoingia siasani hadi kufikia sasa. Mudavadi alizindua kitabu hicho kwenye hafla iliyohudhuriwa na vinara wenza katika muungano wa nasa Moses Wetangula na Kalonzo Musyoka, pamoja na waziri wa michezo Amina Mohammed. Mudavadi anawataka wanasiasa wenza pia kuandika vitabu vyao kama mojawepo ya mbinu za kuhifadhi historia ya nchi.

 

.
RELATED VIDEOS