16th December, 2019
Kiongozi wa kanisa la Kiangilikana nchini askofu Jackson Ole Sapit amemtaka rais Uhuru Kenyatta kufikiria upya kuhusu atua ya kuongeza kipindi kwa jopokoza la utangamano wa kitaifa BBI. Sapit amesema yaliyomo katika BBI yanatakiwa kuzingatiwa ila haoni sababu ya kutoa muda zaidi kwa jopokazi hilo kuwa afisini.