.
14th December, 2019
Katika Juhudi Za Kuimarisha Shughuli Ya Kutwaa Silaha Zinazomilikiwa Kinyume Cha Sheria, Serikali Sasa Imewaonya Machifu Katika Maeneo Ya Turkana Na Samburu Ambayo Yamekuwa Yakishuhudia Utovu Wa Usalama Kuwa Watapoteza Kazi Zao Iwapo Hawatawatambua Na Kuwakamata Wanaomiliki Bunduki Kinyume Cha Sheria .