×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mahakama yaingilia kati mzozo baina ya hoteli ya Kempisky na kampuni ya AVIC international

3rd December, 2019

Mzozo baina ya hoteli ya kifahari ya Kempinsky na jirani zake unaendelea baada ya hoteli hiyo kupata agizo la mahakama ikitaka kampuni ya AVIC international real estate kusitisha ujenzi wa Orofa za hoteli, eneo la biashara na afisi eneo hilo la Westlands. Kempinsky inadai AVIC ilikiuka kanuni kuhusu uhifadhi wa mazingira miongoni mwa sababu nyingine.

 

 

.
RELATED VIDEOS