.
6th November, 2019
watu kumi na mmoja wameripotiwa kuuwawa wakiwemo maafisa watatu wa polisi baada ya majangili kuvamia vijiji viwili katika kaunti ya marsabiti mapema ya leo. akithibitisha tukio hilo kamanda wa polisi kaunti ya Marsabit Steve Oloo amesema ni tukio la kulipiza kisasi baada ya la kwanza kutokea.