×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri Fred Matiang'i ataka mavazi ya maafisa wa serikali kutengenezwa nchini Kenya

25th March, 2019

Waziri wa usalama wa ndani, daktari fred matiang’i, amezitaka wizara na idara zote za serikali kukoma mara moja ununuzi wa sare na mavazi rasmi kutoka nje. Matiang’i, ambaye ndiye mwenyekiti wa kamati kuu ya serikali kuhusu ustawi na utekelezaji wa miradi, amesema uagizaji wa bidhaa muhimu kama vile mavazi kutoka mataifa ya nje ni kudhoofisha uchumi wa nchi. Matiang'i aliyasema hayo alipoyatembelea makao makuu ya nys kukagua ushonaji wa sare za polisi.

.
RELATED VIDEOS