×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Rais Uhuru Kenyatta amesisitizia mpito wa asilimia 100 wa wanafunzi

16th March, 2019

Katika masuala elimu, Rais Uhuru Kenyatta hii leo amesisitiza kuwa mpito wa asilimia 100 wa wanafunzi kutoka shule ya msingi kuelekea shule ya upili. Hii ni baada ya baadhi ya washikadau kulalama kuwa shule nyingi za upili hazina uwezo wa kuwa na wanafunzi wengi kuliko kiwango. Rais alikua akizungumza katika shule ya upili ya mang`u ambapo wanafunzi waliotoa matokeo bora katika mtihani wa kitaifa walituzwa.

.
RELATED VIDEOS