×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Katibu Mkuu wa COTU Francis Atwoli ameitaka serikali kutupilia mbali leseni ya James Finlays

12th March, 2019

Katibu Mkuu wa Vyama vya Wafanyikazi nchini COTU Francis Atwoli ameitaka serikali kututilia mbali leseni ya kuhudumu humu nchini kampuni ya james finlays kwa kukosa kuzingatia mkataba wa pamoja kati wafanyikazi na vyama vya wafanyikazi. Atwoli alisema hayo huko nakuru na kusisitiza kuwa kampuni hiyo imekuwa ikikiuka mara kwa maafikiano ya utendakazi na wa wafanyikazi na waajiri.

.
RELATED VIDEOS