12th March, 2019
Uingereza imejiunga na mataifa mengine angalau matano katika kupiga marufuku kupaa kwa ndege aina ya Boeing 737 max 8 kwenye anga zake. Hii inafuatia maswali kuhusu usalama wa ndege hiyo ambapo ya punde zaidi kupata ajali ethiopia imeangamiza watu 157.