×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Uingereza imepiga marufuku ndege aina ya Boeing 737 max 8

12th March, 2019

Uingereza imejiunga na mataifa mengine angalau matano katika kupiga marufuku kupaa kwa ndege aina ya Boeing 737 max 8 kwenye anga zake. Hii inafuatia maswali kuhusu usalama wa ndege hiyo ambapo ya punde zaidi kupata ajali ethiopia imeangamiza watu 157.

.
RELATED VIDEOS