×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri wa Mazingira Keriako Tobiko abuni mpango wa kuongeza viwango vya misitu nchini

23rd February, 2019

Waziri wa Mazingira Keriako Tobiko ameyataka mashirika ya umma yanayomiliki ardhi isiyotumika kutumia ardhi hiyo kupanda miti ili kuongeza viwango vya misitu nchini. Tobiko alikuwa akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuzuru msitu wa Better Globe uliopo katika eneo la bwawa la Kiambere kaunti ya kitui.

.
RELATED VIDEOS