×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mshukiwa aliyenaswa kwa makosa ya kusafiirsha dawa za kulevya amekanusha madai

23rd February, 2019

Mshukiwa aliyenaswa hapo jana na maafisa wa idara ya upelelezi kwa makosa ya jinai (DCI) akisafiirsha dawa za kulevya zinazoaminika kuwa aina ya heroin alizoficha ndani ya matunda kadhaa ya papai sasa amekanusha madai ya kuhusika katika biashara haramu ya dawa za kulevya. Joseph ngendo  njau alinaswa hapo jana akingia nchini kutoka nchini uganda amechapisha picha kwenye mtandao wa kijamii wa twitter akidai kuwa yeye ni mwanaharakati wa kupambana na dawa za kulevya nchini. Lakini polisi wanasema ametumia uanaharakati wake kuficha uhalifu anaofanya.  

.
RELATED VIDEOS