.
16th February, 2019
Maafisa wa usalama wamelazimika kutumia vitoa machozi kuwatanya wananchi waliokusanyika kumpokea aliyekua gavana wa kaunti ya lamu issa timamy gavana huyo wakwanza amekua na misafara kadhaa katika jimbo hilo tangu mwanzoni mwa juma kwa nia ya kuwashukuru wakaazi waliosimama naye tangu kipindi cha uchaguzi hadi wakati wa kesi ya kupinga ushindi wake mahakamani.vurumai hilo lilichukua muda mfupi kisha baadaye likadhibitiwa.