×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwili wa Mwanahabari Mildred Odira ulikanyagwa na magari baada ya kifo chake

5th February, 2019

Huenda mwili wa marehemu Mildred Odira ulitupwa barabarani na kukanyagwa na magari baada ya kifo chake. Haya ni kwa mujibu wa uchunguzi wa upasuaji wa maiti uliobaini kuwa mengi ya majeraha yake yalitokea  baada ya kifo chake. Haya yanatokea wakati kakake akidai amepata vitisho kuhusiana  na uchunguzi wa kifo chake. 

.
RELATED VIDEOS