Watoto watatu wafariki baada ya nyumba yao kuteketezwa katika eneo la Mlima Elgon
4th January, 2019
Familia moja kutoka kijiji cha Banantega, eneo bunge la Mlima Elgon Kaunti ya Bungoma inaomboleza kifo cha watoto wao watatu waliofariki usiku wa kuamkia leo baada ya nyumba yao kuteketezwa na moto.