Familia ya kijana aliyenyongwa Nakuru wataka majibu baada ya mshukiwa kutoweka
2nd January, 2019
Familia ya kijana aliyenyongwa Nakuru ilipigwa na butwaa wakati mshukiwa kudaiwa kutoroka. Samson Khamari Liavoga alitarajiwa kufika kotini huko nakuru kuhukumiwa kifungo lakini hilo halikuwezekana.