×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Aliyekua mkewe Jackson Kibor ahofia maisha yake baada ya nyumba yake kuteketezwa

19th December, 2018

Saa chache baada ya mwanasiasa na mkulima mwenye utata Jackson Kibor kumtaliki mkewe wa tatu Naomi Jeptoo, ghala la mwanawe Jeptoo Elkana Kibor amablo lilikuwa na mali takriban milioni 1.5 liliteketezwa usiku wa kuamkia Jumatano na watu wasiojulikana. Jeptoo sasa anahisi maisha yake yapo hatarini kutokana na kasumba zinazomwandama.

.
RELATED VIDEOS