×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wa Kaunti ya Trans Nzoia wakashifu vikali kisa cha maafisa wa polisi kuwaua watu watano

17th December, 2018

 

Viongozi wa kaunti ya Trans Nzoia wakiongozwa na Gavana wao Patrick Khaemba wamekashifu vikali kisa kilichotokea hapo jana katika eneo la Kolongolo ambapo inadaiwa maafisa wa polisi waliwauwa watu watano na kuwajeruhi wengine kadhaa. Akizungumza katika hospitali ya Kitale, Gavana Khaemba ameshinikiza kukamatwa kwa maafisa hao ambao anasema walikiuka sheria kwa kufyatulia raia risasi wakati wa makabiliano kati ya wenyeji na maafisa wa polisi.

 

.
RELATED VIDEOS