×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanafanyi kazi wa Commitee to Protect Journalists(CPJ) waachiliwa huru nchini Tanzania

8th November, 2018

 

Serikali ya Tanzania kupitia Idara ya Uhamiaji ya nchi hiyo imethibitisha kuwaachia huru wafanyakazi wawili wa kamati maalumu ya Kutetea Wanahabari Duniani (cpj) waliokamatwa na idara hiyo hapo jana jijini Dar Es Salaam. Wafanyakazi hao Angela Quintal na Muthoki Mumo wanatuhumiwa kwa kukiuka masharti ya viza yao ambayo ni ya matembezi na badala yake wamekuwa wakifanya mikutanao na wanahabari wa nchi hiyo.  

.
RELATED VIDEOS