1st November, 2018
Je umewahi kujiuliza makaa yanayotumika nchini baada ya serikali kupiga marufuku ukataji miti na uchomaji makaa yanatoka wapi? Biashara ya makaa inayogharimu mamilioni ya fedha imeendelea kushamiri katika eneo la mpakani kati ya kenya na uganda mjini busia licha ya marufuku hii. Asilimia kubwa ya makaa tunayotumia yanatoka mataifa jirani kupitia kivukio hiki. |