.
17th October, 2018
Viongozi malimbali wakongamana na familia ndugu pamoja na marafiki wa waliofariki katika ajali ya basi ya Fort Ternan eneo la Kericho kufanya ibada ya wafu katika eneo la Kakamega. Maombi hayo maalum yalikuwa ya kuomoleza watu 31 waliofariki katika ajali hiyo kutoka eneo la magharibi