.
13th October, 2018
Tume huru ya uchaguzi na mipaka imethibitisha kumpiga kalamu rasmi aliyekuwa afisa wake mtendaji ezra chiloba kutokana na maswali yaliyoulizwa na mkaguzi mkuu wa fedha za serikali ya jinsi shughuli za ununuzi wa vifaa vilivyotumika katika uchaguzi mkuu uliopita ilivyoendeshwa kupitia kwa taarifa kwa vyombo vya habari mwenyekiti wa iebc wafula chebukati amesema kuwa imethibitishwa kuwa kulikuwa na dosari nyingi za usimamizi na zabuni zilizotolewa kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka uliopita. Awali chiloba alisema alizuia kupata stakabadhi muhimu ambazo zingemsaidia kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa kumtimua afisini.