.
8th October, 2018
Jumuiya ya Afrika Mashariki imeonesha dhamira ya kudhibiti matumizi ya silaha za moto ambazo kwa wakati tofauti hutumika katika kutekeleza uhalifu dhidi ya binadamu, jumuiya hiyo kupitia spika wa bunge lake Martin Ngoga, imesema itatekeleza dhima hiyo kwa ushirikiano wa kamati ya kimataifa ya Msalaba Mwekundu ( ICRC) na serikali za nchi wanachama za umoja wa Afrika mashariki