×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi kutoka Lamu waungana kuunga mkono mradi wa kawi

8th October, 2018

Viongozi wa kaunti ya Lamu wameungana na kuunga mkono mradi wa kawi ya upepo katika wadi ya bahari eneo la Mpeketoni kaunti ya Lamu wakizungumza katika mkutano na wakulima wa eneo lililoathirika na mradi huo viongozi hao wamewafahamisha wakulima kuhusu mfumo wa kuwalipa ridhaa unaojulikana kama rap utakaotumiwa na muekezeji kwa minajli ya kujua ni mfumo upi wa malipo wanaotaka waathiriwa wa mradi huo. Mbunge wa Lamu Magharibi Stanley Muthama amewaonya wanaotaka kutia doa zoezi hilo. Muthama aidha amesema watakaofaidika na ridhaa hiyo ni wakulima halali wa eneo hilo pekee.

 

 

 

.
RELATED VIDEOS